3 Mwandishi Mwendesha Ofisi Daraja LA II job at Ubungo Municipal Council
15 Days Ago
Linkedid Twitter Share on facebook
3 Mwandishi Mwendesha Ofisi Daraja LA II
2025-11-17T10:00:26+00:00
Ubungo Municipal Council
https://cdn.greattanzaniajobs.com/jsjobsdata/data/employer/comp_4054/logo/Government.jpg
FULL_TIME
 
Dar es Salaam
Dar es Salaam
00000
Tanzania
Public Administration, and Government
Admin & Office, Civil & Government
TZS
 
MONTH
2025-11-24T17:00:00+00:00
 
Tanzania
8

Duties and Responsibilities

i. Kuchapa barua, taarifa na nyaraka za kawaida na za siri;

ii. Kupokea wageni na kuwasaili shida zao na kuwaelekeza sehemu wanapoweza kushughulikiwa;

iii. Kutunza taarifa na kumbukumbu za matukio, miadi, wageni,tarehe za vikao, safari za Mkuu wake na ratiba ya kazi zingine;

iv. Kutafuta majalada na nyaraka zinazohitajika katika utekelezaji wa majukumu ya kazi;

v. Kupokea majalada na kusambaza kwa Maofisa waliokatika Idara/Kitengo/Sehemu husika;

vi. Kukusanya, kutunza na kuyarejesha majalada na nyaraka sehemu zinazohusika;

vii.Kupanga dondoo na kufanya maandalizi ya vikao mbalimbali;

viii. Kuandaa orodha ya mahitaji ya vifaa vya ofisi; na

ix. Kufanya kazi zingine atakazopangiwa na Mkuu wake wa kazi.

Qualifications

Kuajiriwa Wahitimu wa Kidato cha Nne (Form Four) au Kidato cha Sita (Form Six) wenye Stashahada (Diploma) ya Uhazili au cheti cha NTA level 6 ya Uhazili. Aidha, wawe amefaulu somo la Hatimkato ya Kiswahili na Kiingereza maeneo 80 kwa dakika moja na kupata programu za kompyuta za ofisi kama vile: Word, Excel, Powepoint, Internet, E-mail na Publisher kutoka chuo chochote kinachotambuliwa na Serikali.

  • Kuchapa barua, taarifa na nyaraka za kawaida na za siri;
  • Kupokea wageni na kuwasaili shida zao na kuwaelekeza sehemu wanapoweza kushughulikiwa;
  • Kutunza taarifa na kumbukumbu za matukio, miadi, wageni,tarehe za vikao, safari za Mkuu wake na ratiba ya kazi zingine;
  • Kutafuta majalada na nyaraka zinazohitajika katika utekelezaji wa majukumu ya kazi;
  • Kupokea majalada na kusambaza kwa Maofisa waliokatika Idara/Kitengo/Sehemu husika;
  • Kukusanya, kutunza na kuyarejesha majalada na nyaraka sehemu zinazohusika;
  • Kupanga dondoo na kufanya maandalizi ya vikao mbalimbali;
  • Kuandaa orodha ya mahitaji ya vifaa vya ofisi; na
  • Kufanya kazi zingine atakazopangiwa na Mkuu wake wa kazi.
  • Hatimkato ya Kiswahili na Kiingereza maeneo 80 kwa dakika moja
  • Programu za kompyuta za ofisi: Word, Excel, Powepoint, Internet, E-mail na Publisher
  • Wahitimu wa Kidato cha Nne (Form Four) au Kidato cha Sita (Form Six)
  • Stashahada (Diploma) ya Uhazili au cheti cha NTA level 6 ya Uhazili
  • Kufaulu somo la Hatimkato ya Kiswahili na Kiingereza maeneo 80 kwa dakika moja
  • Kupata programu za kompyuta za ofisi kama vile: Word, Excel, Powepoint, Internet, E-mail na Publisher kutoka chuo chochote kinachotambuliwa na Serikali
professional certificate
12
JOB-691af23a3056f

Vacancy title:
3 Mwandishi Mwendesha Ofisi Daraja LA II

[Type: FULL_TIME, Industry: Public Administration, and Government, Category: Admin & Office, Civil & Government]

Jobs at:
Ubungo Municipal Council

Deadline of this Job:
Monday, November 24 2025

Duty Station:
Dar es Salaam | Dar es Salaam | Tanzania

Summary
Date Posted: Monday, November 17 2025, Base Salary: Not Disclosed

Similar Jobs in Tanzania
Learn more about Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council jobs in Tanzania

JOB DETAILS:

Duties and Responsibilities

i. Kuchapa barua, taarifa na nyaraka za kawaida na za siri;

ii. Kupokea wageni na kuwasaili shida zao na kuwaelekeza sehemu wanapoweza kushughulikiwa;

iii. Kutunza taarifa na kumbukumbu za matukio, miadi, wageni,tarehe za vikao, safari za Mkuu wake na ratiba ya kazi zingine;

iv. Kutafuta majalada na nyaraka zinazohitajika katika utekelezaji wa majukumu ya kazi;

v. Kupokea majalada na kusambaza kwa Maofisa waliokatika Idara/Kitengo/Sehemu husika;

vi. Kukusanya, kutunza na kuyarejesha majalada na nyaraka sehemu zinazohusika;

vii.Kupanga dondoo na kufanya maandalizi ya vikao mbalimbali;

viii. Kuandaa orodha ya mahitaji ya vifaa vya ofisi; na

ix. Kufanya kazi zingine atakazopangiwa na Mkuu wake wa kazi.

Qualifications

Kuajiriwa Wahitimu wa Kidato cha Nne (Form Four) au Kidato cha Sita (Form Six) wenye Stashahada (Diploma) ya Uhazili au cheti cha NTA level 6 ya Uhazili. Aidha, wawe amefaulu somo la Hatimkato ya Kiswahili na Kiingereza maeneo 80 kwa dakika moja na kupata programu za kompyuta za ofisi kama vile: Word, Excel, Powepoint, Internet, E-mail na Publisher kutoka chuo chochote kinachotambuliwa na Serikali.

 

Work Hours: 8

Experience in Months: 12

Level of Education: professional certificate

Job application procedure

Click Here to Apply Now

 

All Jobs | QUICK ALERT SUBSCRIPTION

Job Info
Job Category: Administrative jobs in Tanzania
Job Type: Full-time
Deadline of this Job: Monday, November 24 2025
Duty Station: Dar es Salaam | Dar es Salaam | Tanzania
Posted: 17-11-2025
No of Jobs: 3
Start Publishing: 17-11-2025
Stop Publishing (Put date of 2030): 10-10-2076
Apply Now
Notification Board

Join a Focused Community on job search to uncover both advertised and non-advertised jobs that you may not be aware of. A jobs WhatsApp Group Community can ensure that you know the opportunities happening around you and a jobs Facebook Group Community provides an opportunity to discuss with employers who need to fill urgent position. Click the links to join. You can view previously sent Email Alerts here incase you missed them and Subscribe so that you never miss out.

Caution: Never Pay Money in a Recruitment Process.

Some smart scams can trick you into paying for Psychometric Tests.