Mkufunzi Msaidizi Maendeleo Ya Jamii II- Magari(Motor Vehicle Mechanics)
2026-07-18T10:12:34+00:00
Ministry of Education, Science and Technology
https://cdn.greattanzaniajobs.com/jsjobsdata/data/employer/comp_4250/logo/Ministry%20of%20Education,%20Science%20and%20Technology.png
https://www.moe.go.tz/en
FULL_TIME
Dar es Salaam
Dar es Salaam
00000
Tanzania
Public Administration, and Government
Education, Installation, Maintenance & Repair, Science & Engineering, Civil & Government
2026-07-31T17:00:00+00:00
8
Duties and Responsibilities
- Kufundisha masomo ya fani ya Magari katika vyuo;
- Kuandaa mitiririko na mpangilio wa masomo;
- Kusimamia masomo ya vitendo;
- Kuwapima wanachuo wakati wa mazoezi na kwenye mitihani;
- Kufanya utafiti wa mahitaji ya mafunzo katika Jamii inayozunguka chuo;
- Kuandaa muhtasari wa masomo;
- Kufanya maandalizi ya namna ya kuendesha mafunzo;
- Kuandaa vielelezo vya kufundishia;
- Kuendesha mafunzo ya nje ya Chuo (Outreach Programs); na
- Kutunga, Kusimamia na Kusahihisha mitihani.
Qualifications
Kuajiriwa wahitimu wa kidato cha nne/sita waliofuzu mafunzo ya Stashahada katika fani ufundi wa Magari kutoka Chuo kinachotambuliwa na Serikali.
- Kufundisha masomo ya fani ya Magari katika vyuo;
- Kuandaa mitiririko na mpangilio wa masomo;
- Kusimamia masomo ya vitendo;
- Kuwapima wanachuo wakati wa mazoezi na kwenye mitihani;
- Kufanya utafiti wa mahitaji ya mafunzo katika Jamii inayozunguka chuo;
- Kuandaa muhtasari wa masomo;
- Kufanya maandalizi ya namna ya kuendesha mafunzo;
- Kuandaa vielelezo vya kufundishia;
- Kuendesha mafunzo ya nje ya Chuo (Outreach Programs); na
- Kutunga, Kusimamia na Kusahihisha mitihani.
- Wahitimu wa kidato cha nne/sita waliofuzu mafunzo ya Stashahada katika fani ufundi wa Magari kutoka Chuo kinachotambuliwa na Serikali.
No Requirements
JOB-6a5b519260f2b
Vacancy title:
Mkufunzi Msaidizi Maendeleo Ya Jamii II- Magari(Motor Vehicle Mechanics)
[Type: FULL_TIME, Industry: Public Administration, and Government, Category: Education, Installation, Maintenance & Repair, Science & Engineering, Civil & Government]
Jobs at:
Ministry of Education, Science and Technology
Deadline of this Job:
Friday, July 31 2026
Duty Station:
Dar es Salaam | Dar es Salaam
Summary
Date Posted: Saturday, July 18 2026, Base Salary: Not Disclosed
Similar Jobs in Tanzania
Learn more about Ministry of Education, Science and Technology
Ministry of Education, Science and Technology jobs in Tanzania
JOB DETAILS:
Duties and Responsibilities
- Kufundisha masomo ya fani ya Magari katika vyuo;
- Kuandaa mitiririko na mpangilio wa masomo;
- Kusimamia masomo ya vitendo;
- Kuwapima wanachuo wakati wa mazoezi na kwenye mitihani;
- Kufanya utafiti wa mahitaji ya mafunzo katika Jamii inayozunguka chuo;
- Kuandaa muhtasari wa masomo;
- Kufanya maandalizi ya namna ya kuendesha mafunzo;
- Kuandaa vielelezo vya kufundishia;
- Kuendesha mafunzo ya nje ya Chuo (Outreach Programs); na
- Kutunga, Kusimamia na Kusahihisha mitihani.
Qualifications
Kuajiriwa wahitimu wa kidato cha nne/sita waliofuzu mafunzo ya Stashahada katika fani ufundi wa Magari kutoka Chuo kinachotambuliwa na Serikali.
Work Hours: 8
Experience: No Requirements
Level of Education: associate degree
Job application procedure
Application Period: 18/07/2026 - 31/07/2026
Application Link: Click Here to Apply Now
All Jobs | QUICK ALERT SUBSCRIPTION