Nahodha Daraja la II (Skipper)
2026-07-30T11:43:50+00:00
Mafia District Council
https://cdn.greattanzaniajobs.com/jsjobsdata/data/employer/comp_3523/logo/Mafia%20District%20Council.jpg
https://www.greattanzaniajobs.com/jobs
FULL_TIME
Pwani
Tanzania
00000
Tanzania
Public Administration, and Government
Transportation & Logistics, Civil & Government
2026-08-12T17:00:00+00:00
8
The Mafia District Council is a local government authority in Tanzania that administers Mafia Island and its surrounding smaller islands within the Pwani Region.
NAHODHA DARAJA LA II (SKIPPER)
Halmashauri ya Wilaya ya Mafia
2 Positions
Duties and Responsibilities
- Kuendesha boti ya doria;
- Kubuni, kutengeneza na kutunza zana za kuvulia samaki (Fishing Gears);
- Kuongoza na kuendesha boti/meli ndogo zenye urefu wa futi 40 na uzito wa kuandikishwa wa tani 50 – 100 “Gross Tonnage (GRT)”;
- Kuendesha shughuli za uvuvi katika meli; Kushiriki katika kuendesha doria za baharini na nchi kavu, na Doria za EEZ;
- Kusoma taarifa za VMS na kuziwasilisha kwa Mkuu wa kituo kila siku, wiki, mwezi, robo mwaka, nusu mwaka na mwaka;
- Kukamata wahalifu wa Sheria na Kanuni za Uvuvi;
- Kusaidia kutunza Kumbukumbu zote za matumizi ya mafuta katika vyombo vya doria;
- Kusaidia kuandaa ratiba ya kufanya matengenezo na “service” ya vyombo vyote vya doria (service schedule);
- Kutekeleza majukumu yote ya kikosi kama yalivyoainishwa katika Kifungu cha 32 cha Sheria ya Uvuvi na. 22 ya mwaka 2003; na
- Kufanya kazi nyingine za fani yake atakazopangiwa na mkuu wa kazi.
Qualifications
- Kuajiriwa wahitimu wa Kidato cha IV au VI wenye Stashahada (Diploma NTA – level 6) ya Unahodha na Uvuvi (Master Fisherman) kutoka Vyuo vya Wakala wa Elimu na Mafunzo ya Uvuvi (Fisheries Education and Training Agency – FETA) au sifa inayolingana na hiyo kutoka vyuo vingine vinavyotambuliwa na Serikali.
- Kuendesha boti ya doria;
- Kubuni, kutengeneza na kutunza zana za kuvulia samaki (Fishing Gears);
- Kuongoza na kuendesha boti/meli ndogo zenye urefu wa futi 40 na uzito wa kuandikishwa wa tani 50 – 100 “Gross Tonnage (GRT)”;
- Kuendesha shughuli za uvuvi katika meli; Kushiriki katika kuendesha doria za baharini na nchi kavu, na Doria za EEZ;
- Kusoma taarifa za VMS na kuziwasilisha kwa Mkuu wa kituo kila siku, wiki, mwezi, robo mwaka, nusu mwaka na mwaka;
- Kukamata wahalifu wa Sheria na Kanuni za Uvuvi;
- Kusaidia kutunza Kumbukumbu zote za matumizi ya mafuta katika vyombo vya doria;
- Kusaidia kuandaa ratiba ya kufanya matengenezo na “service” ya vyombo vyote vya doria (service schedule);
- Kutekeleza majukumu yote ya kikosi kama yalivyoainishwa katika Kifungu cha 32 cha Sheria ya Uvuvi na. 22 ya mwaka 2003; na
- Kufanya kazi nyingine za fani yake atakazopangiwa na mkuu wa kazi.
- Kuajiriwa wahitimu wa Kidato cha IV au VI wenye Stashahada (Diploma NTA – level 6) ya Unahodha na Uvuvi (Master Fisherman) kutoka Vyuo vya Wakala wa Elimu na Mafunzo ya Uvuvi (Fisheries Education and Training Agency – FETA) au sifa inayolingana na hiyo kutoka vyuo vingine vinavyotambuliwa na Serikali.
No Requirements
JOB-6a6b38f636aaa
Vacancy title:
Nahodha Daraja la II (Skipper)
[Type: FULL_TIME, Industry: Public Administration, and Government, Category: Transportation & Logistics, Civil & Government]
Jobs at:
Mafia District Council
Deadline of this Job:
Wednesday, August 12 2026
Duty Station:
Pwani | Tanzania
Summary
Date Posted: Thursday, July 30 2026, Base Salary: Not Disclosed
Similar Jobs in Tanzania
Learn more about Mafia District Council
Mafia District Council jobs in Tanzania
JOB DETAILS:
The Mafia District Council is a local government authority in Tanzania that administers Mafia Island and its surrounding smaller islands within the Pwani Region.
NAHODHA DARAJA LA II (SKIPPER)
Halmashauri ya Wilaya ya Mafia
2 Positions
Duties and Responsibilities
- Kuendesha boti ya doria;
- Kubuni, kutengeneza na kutunza zana za kuvulia samaki (Fishing Gears);
- Kuongoza na kuendesha boti/meli ndogo zenye urefu wa futi 40 na uzito wa kuandikishwa wa tani 50 – 100 “Gross Tonnage (GRT)”;
- Kuendesha shughuli za uvuvi katika meli; Kushiriki katika kuendesha doria za baharini na nchi kavu, na Doria za EEZ;
- Kusoma taarifa za VMS na kuziwasilisha kwa Mkuu wa kituo kila siku, wiki, mwezi, robo mwaka, nusu mwaka na mwaka;
- Kukamata wahalifu wa Sheria na Kanuni za Uvuvi;
- Kusaidia kutunza Kumbukumbu zote za matumizi ya mafuta katika vyombo vya doria;
- Kusaidia kuandaa ratiba ya kufanya matengenezo na “service” ya vyombo vyote vya doria (service schedule);
- Kutekeleza majukumu yote ya kikosi kama yalivyoainishwa katika Kifungu cha 32 cha Sheria ya Uvuvi na. 22 ya mwaka 2003; na
- Kufanya kazi nyingine za fani yake atakazopangiwa na mkuu wa kazi.
Qualifications
- Kuajiriwa wahitimu wa Kidato cha IV au VI wenye Stashahada (Diploma NTA – level 6) ya Unahodha na Uvuvi (Master Fisherman) kutoka Vyuo vya Wakala wa Elimu na Mafunzo ya Uvuvi (Fisheries Education and Training Agency – FETA) au sifa inayolingana na hiyo kutoka vyuo vingine vinavyotambuliwa na Serikali.
Work Hours: 8
Experience: No Requirements
Level of Education: bachelor degree
Job application procedure
Application Period: 31/07/2026 - 12/08/2026
Click Here to Apply Now
All Jobs | QUICK ALERT SUBSCRIPTION