Mwandishi Mwendesha Ofisi Daraja LA II (Office Management Secretary Grade II)
2026-08-05T19:24:34+00:00
Mbulu District Council
https://cdn.greattanzaniajobs.com/jsjobsdata/data/employer/comp_3470/logo/Mbulu%20District%20Council.jpg
https://www.greattanzaniajobs.com/jobs
FULL_TIME
Tanzania
Tanzania
00000
Tanzania
Public Administration, and Government
Admin & Office, Civil & Government
2026-08-19T17:00:00+00:00
8
MWANDISHI MWENDESHA OFISI DARAJA LA II (OFFICE MANAGEMENT SECRETARY GRADE II)
Duties and Responsibilities
- Kuchapa barua, taarifa na nyaraka za kawadia na za siri;
- Kupokea wageni na kuwasikiza shida zao na kuwaelekeza wanapoweza kusaidiwa;
- Kutunza taarifa za kumbukumbu ya matukio, miadi, tarehe za vikao, safari za Mkuu wake na ratiba za kazi zingine;
- Kutafuta majalada na nyaraka zinazohitajika katika utekelezaji wa majukumu ya kazi;
- Kupokea majalada na kusambaza kwa Maofisa waliokatika Idara/Kitengo/Sehemu husika;
- Kukusanya, kutunza na kuyerejesha majalada na nyaraka sehemu zinazohusika;
- Kupanga dondoo na kufanya maandalizi ya vikao mablimbali;
- Kuandaa orodha ya mahitaji ya vifaa vya ofisi; naix.
- Kufanya kazi zingine atakazopangiwa na Mkuu wake wa kazi.
Qualifications
Kuajiriwa Wahitimu wa Kidato cha Nne (Form Four) au Kidato cha Sita (Form Six) wenye Stashahada (NTA Level 6) ya Uhazili (Secretarial Studies). Aidha, wawe wamefaulu somo la Hatimkato ya Kiswahili na Kiingereza maneno 80 (80.w.p.m) kwa dakika moja na kupata mafunzo ya programu za kompyuta za ofisi kama vile: Word, Excel, Powepoint, Internet, E-mail na Publisher kutoka chuo chochote kinachotambuliwa na Serikali.
- Kuchapa barua, taarifa na nyaraka za kawadia na za siri;
- Kupokea wageni na kuwasikiza shida zao na kuwaelekeza wanapoweza kusaidiwa;
- Kutunza taarifa za kumbukumbu ya matukio, miadi, tarehe za vikao, safari za Mkuu wake na ratiba za kazi zingine;
- Kutafuta majalada na nyaraka zinazohitajika katika utekelezaji wa majukumu ya kazi;
- Kupokea majalada na kusambaza kwa Maofisa waliokatika Idara/Kitengo/Sehemu husika;
- Kukusanya, kutunza na kuyerejesha majalada na nyaraka sehemu zinazohusika;
- Kupanga dondoo na kufanya maandalizi ya vikao mablimbali;
- Kuandaa orodha ya mahitaji ya vifaa vya ofisi; naix.
- Kufanya kazi zingine atakazopangiwa na Mkuu wake wa kazi.
- Typing
- Shorthand (Swahili and English 80 w.p.m)
- Computer proficiency (Word, Excel, Powerpoint, Internet, E-mail, Publisher)
- Record keeping
- Meeting preparation
- Office supply management
- Form Four or Form Six certificate
- NTA Level 6 Diploma in Secretarial Studies
- Pass in Shorthand (Swahili and English 80 w.p.m)
- Training in office computer programs (Word, Excel, Powerpoint, Internet, E-mail, Publisher) from a government-recognized institution.
No Requirements
JOB-6a738df250199
Vacancy title:
Mwandishi Mwendesha Ofisi Daraja LA II (Office Management Secretary Grade II)
[Type: FULL_TIME, Industry: Public Administration, and Government, Category: Admin & Office, Civil & Government]
Jobs at:
Mbulu District Council
Deadline of this Job:
Wednesday, August 19 2026
Duty Station:
Tanzania | Tanzania
Summary
Date Posted: Wednesday, August 5 2026, Base Salary: Not Disclosed
Similar Jobs in Tanzania
Learn more about Mbulu District Council
Mbulu District Council jobs in Tanzania
JOB DETAILS:
MWANDISHI MWENDESHA OFISI DARAJA LA II (OFFICE MANAGEMENT SECRETARY GRADE II)
Duties and Responsibilities
- Kuchapa barua, taarifa na nyaraka za kawadia na za siri;
- Kupokea wageni na kuwasikiza shida zao na kuwaelekeza wanapoweza kusaidiwa;
- Kutunza taarifa za kumbukumbu ya matukio, miadi, tarehe za vikao, safari za Mkuu wake na ratiba za kazi zingine;
- Kutafuta majalada na nyaraka zinazohitajika katika utekelezaji wa majukumu ya kazi;
- Kupokea majalada na kusambaza kwa Maofisa waliokatika Idara/Kitengo/Sehemu husika;
- Kukusanya, kutunza na kuyerejesha majalada na nyaraka sehemu zinazohusika;
- Kupanga dondoo na kufanya maandalizi ya vikao mablimbali;
- Kuandaa orodha ya mahitaji ya vifaa vya ofisi; naix.
- Kufanya kazi zingine atakazopangiwa na Mkuu wake wa kazi.
Qualifications
Kuajiriwa Wahitimu wa Kidato cha Nne (Form Four) au Kidato cha Sita (Form Six) wenye Stashahada (NTA Level 6) ya Uhazili (Secretarial Studies). Aidha, wawe wamefaulu somo la Hatimkato ya Kiswahili na Kiingereza maneno 80 (80.w.p.m) kwa dakika moja na kupata mafunzo ya programu za kompyuta za ofisi kama vile: Word, Excel, Powepoint, Internet, E-mail na Publisher kutoka chuo chochote kinachotambuliwa na Serikali.
Work Hours: 8
Experience: No Requirements
Level of Education: associate degree
Job application procedure
Application Period: 05/08/2026 - 19/08/2026
Application Link: Click Here to Apply Now
All Jobs | QUICK ALERT SUBSCRIPTION