Mwalimu Daraja LA III C - Somo La Hisabati (Mathematics Subject)
2026-09-03T16:15:32+00:00
MDAs & LGAs
https://cdn.greattanzaniajobs.com/jsjobsdata/data/employer/comp_3286/logo/MDAs%20&%20LGAs.jpg
https://www.greattanzaniajobs.com/jobs
FULL_TIME
Dar es Salaam
Dar es Salaam
00000
Tanzania
Public Administration, and Government
Education, Teachers & Education, Civil & Government
2026-09-17T17:00:00+00:00
8
Duties and Responsibilities
- Kuandaa azimio la kazi, maandalio ya masomo, nukuu za masomo na Mpango wa Kazi wa majukumu mengine aliyokabidhiwa;
- Kutengeneza na Kufaraghua zana za kufundishia na kujifunzia;
- Kufundisha, kufanya Tathmini na kutunza kumbukumbu za Maendeleo ya Wanafunzi;
- Kusimamia na kufuatilia mahudhurio ya wanafunzi Shuleni na Darasani;
- Kusimamia malezi ya wanafunzi Kiakili, Kimwili, Kiroho na kutoa ushauri nasaha na unasihi;
- Kutoa ushauri wa Kitaalamu na kutaaluma kuhusu maendeleo ya Elimu;
- Kusimamia na utunzaji wa vifaa na mali za Shule; na
- Kazi nyingine atakazopangwa na Mkuu wa Shule kulingana na majukumu ya Shule.
Qualifications
Kuajiriwa mwenye Shahada ya Elimu (Bachelor with Education) au Shahada ya Ualimu (Bachelor of Education) yenye somo la kufundishia la Hisabati
AU
Shahada isiyo ya Ualimu/Elimu yenye somo la kufundishia la Hisabati pamoja na Stashahada ya Uzamili ya Elimu (Postgraduate Diploma in Education) kutoka Vyuo vya Elimu ya Juu vinavyotambulika na Serikali.
- Kuandaa azimio la kazi, maandalio ya masomo, nukuu za masomo na Mpango wa Kazi wa majukumu mengine aliyokabidhiwa;
- Kutengeneza na Kufaraghua zana za kufundishia na kujifunzia;
- Kufundisha, kufanya Tathmini na kutunza kumbukumbu za Maendeleo ya Wanafunzi;
- Kusimamia na kufuatilia mahudhurio ya wanafunzi Shuleni na Darasani;
- Kusimamia malezi ya wanafunzi Kiakili, Kimwili, Kiroho na kutoa ushauri nasaha na unasihi;
- Kutoa ushauri wa Kitaalamu na kutaaluma kuhusu maendeleo ya Elimu;
- Kusimamia na utunzaji wa vifaa na mali za Shule; na
- Kazi nyingine atakazopangwa na Mkuu wa Shule kulingana na majukumu ya Shule.
- Shahada ya Elimu (Bachelor with Education) au Shahada ya Ualimu (Bachelor of Education) yenye somo la kufundishia la Hisabati
- Shahada isiyo ya Ualimu/Elimu yenye somo la kufundishia la Hisabati pamoja na Stashahada ya Uzamili ya Elimu (Postgraduate Diploma in Education) kutoka Vyuo vya Elimu ya Juu vinavyotambulika na Serikali.
No Requirements
JOB-6a999d24261b5
Vacancy title:
Mwalimu Daraja LA III C - Somo La Hisabati (Mathematics Subject)
[Type: FULL_TIME, Industry: Public Administration, and Government, Category: Education, Teachers & Education, Civil & Government]
Jobs at:
MDAs & LGAs
Deadline of this Job:
Thursday, September 17 2026
Duty Station:
Dar es Salaam | Dar es Salaam
Summary
Date Posted: Thursday, September 3 2026, Base Salary: Not Disclosed
Similar Jobs in Tanzania
Learn more about MDAs & LGAs
MDAs & LGAs jobs in Tanzania
JOB DETAILS:
Duties and Responsibilities
- Kuandaa azimio la kazi, maandalio ya masomo, nukuu za masomo na Mpango wa Kazi wa majukumu mengine aliyokabidhiwa;
- Kutengeneza na Kufaraghua zana za kufundishia na kujifunzia;
- Kufundisha, kufanya Tathmini na kutunza kumbukumbu za Maendeleo ya Wanafunzi;
- Kusimamia na kufuatilia mahudhurio ya wanafunzi Shuleni na Darasani;
- Kusimamia malezi ya wanafunzi Kiakili, Kimwili, Kiroho na kutoa ushauri nasaha na unasihi;
- Kutoa ushauri wa Kitaalamu na kutaaluma kuhusu maendeleo ya Elimu;
- Kusimamia na utunzaji wa vifaa na mali za Shule; na
- Kazi nyingine atakazopangwa na Mkuu wa Shule kulingana na majukumu ya Shule.
Qualifications
Kuajiriwa mwenye Shahada ya Elimu (Bachelor with Education) au Shahada ya Ualimu (Bachelor of Education) yenye somo la kufundishia la Hisabati
AU
Shahada isiyo ya Ualimu/Elimu yenye somo la kufundishia la Hisabati pamoja na Stashahada ya Uzamili ya Elimu (Postgraduate Diploma in Education) kutoka Vyuo vya Elimu ya Juu vinavyotambulika na Serikali.
Work Hours: 8
Experience: No Requirements
Level of Education: bachelor degree
Job application procedure
Application Period: 03/09/2026 - 17/09/2026
Click Here to Apply Now
All Jobs | QUICK ALERT SUBSCRIPTION