2 Msaidizi Maendeleo Ya Jamii Daraja La Ii job at Bunda District Council
New
Today
Linkedid Twitter Share on facebook
2 Msaidizi Maendeleo Ya Jamii Daraja La Ii
2025-09-05T03:17:35+00:00
Bunda District Council
https://cdn.greattanzaniajobs.com/jsjobsdata/data/employer/comp_5198/logo/Bunda%20District%20Council.jpg
FULL_TIME
 
Tanzania
Dar es Salaam
00000
Tanzania
Professional Services
Management
TZS
 
MONTH
2025-09-17T17:00:00+00:00
 
Tanzania
8

Duties and Responsibilities

Kusaidia kubuni na kupanga mipango na miradi ya maendeleo 

   katika eneo lake,

ii) Kusaidia uwezeshaji na upatikanaji wa mafunzo kuhusu masuala 

    ya maendeleo katika eneo lake

iii) Kushiriki katika utekelezaji wa shughuli za maendeleo.

iv) Kusaidia kutoa elimu kuhusu kazi za kujitegemea katika eneo lake,

v) Kuandaa na kutoa taarifa za kazi za maendeleo ya jamii kila 

    mwezi kwa uongozi wa kijiji na kwa Msimamizi wake wa kazi,

vi) Kusaidia kuunda vikundi vya kijamii na vya kimaendeleo.

vii) Kutambua na kuwezesha kaya masikini kuinua uchumi wao kupitia 

     fursa na rasilimali zinazowazunguka.

viii) Kufanya kazi nyingine atakazopangiwa na Mkuu wake wa kazi

Qualifications

Kuajiriwa mwenye Astashahada (Certificate) ya Maendeleo ya Jamii kutoka Vyuo vya Maendeleo ya Jamii au Vyuo vingine vinavyotambuliwa na Serikali katika mojawapo wa fani zifuatazo: Maendeleo ya Jamii (Community Development),Sayansi ya Jamii (Sociology, Masomo ya Maendeleo (Development Studies),Mipango na Usimamizi wa Miradi (Project Planning and Management),Jinsia na Maendeleo (Gender and Development),Rural Development, Au fani nyingine zinazofanana na Maendeleo ya Jamii.

 
 
 
bachelor degree
12
JOB-68ba564f2d5e9

Vacancy title:
2 Msaidizi Maendeleo Ya Jamii Daraja La Ii

[Type: FULL_TIME, Industry: Professional Services, Category: Management]

Jobs at:
Bunda District Council

Deadline of this Job:
Wednesday, September 17 2025

Duty Station:
Tanzania | Dar es Salaam | Tanzania

Summary
Date Posted: Friday, September 5 2025, Base Salary: Not Disclosed

Similar Jobs in Tanzania
Learn more about Bunda District Council
Bunda District Council jobs in Tanzania

JOB DETAILS:

Duties and Responsibilities

Kusaidia kubuni na kupanga mipango na miradi ya maendeleo 

   katika eneo lake,

ii) Kusaidia uwezeshaji na upatikanaji wa mafunzo kuhusu masuala 

    ya maendeleo katika eneo lake

iii) Kushiriki katika utekelezaji wa shughuli za maendeleo.

iv) Kusaidia kutoa elimu kuhusu kazi za kujitegemea katika eneo lake,

v) Kuandaa na kutoa taarifa za kazi za maendeleo ya jamii kila 

    mwezi kwa uongozi wa kijiji na kwa Msimamizi wake wa kazi,

vi) Kusaidia kuunda vikundi vya kijamii na vya kimaendeleo.

vii) Kutambua na kuwezesha kaya masikini kuinua uchumi wao kupitia 

     fursa na rasilimali zinazowazunguka.

viii) Kufanya kazi nyingine atakazopangiwa na Mkuu wake wa kazi

Qualifications

Kuajiriwa mwenye Astashahada (Certificate) ya Maendeleo ya Jamii kutoka Vyuo vya Maendeleo ya Jamii au Vyuo vingine vinavyotambuliwa na Serikali katika mojawapo wa fani zifuatazo: Maendeleo ya Jamii (Community Development),Sayansi ya Jamii (Sociology, Masomo ya Maendeleo (Development Studies),Mipango na Usimamizi wa Miradi (Project Planning and Management),Jinsia na Maendeleo (Gender and Development),Rural Development, Au fani nyingine zinazofanana na Maendeleo ya Jamii.

 

Work Hours: 8

Experience in Months: 12

Level of Education: bachelor degree

Job application procedure

Interested in applying for this job? Click here to submit your application now

 

All Jobs | QUICK ALERT SUBSCRIPTION

Job Info
Job Category: Administrative jobs in Tanzania
Job Type: Full-time
Deadline of this Job: Wednesday, September 17 2025
Duty Station: Tanzania | Dar es Salaam | Tanzania
Posted: 05-09-2025
No of Jobs: 1
Start Publishing: 05-09-2025
Stop Publishing (Put date of 2030): 05-09-2077
Apply Now
Notification Board

Join a Focused Community on job search to uncover both advertised and non-advertised jobs that you may not be aware of. A jobs WhatsApp Group Community can ensure that you know the opportunities happening around you and a jobs Facebook Group Community provides an opportunity to discuss with employers who need to fill urgent position. Click the links to join. You can view previously sent Email Alerts here incase you missed them and Subscribe so that you never miss out.

Caution: Never Pay Money in a Recruitment Process.

Some smart scams can trick you into paying for Psychometric Tests.