10 Dereva Daraja II (Driver Grade II) job at Bunda District Council
New
Today
Linkedid Twitter Share on facebook
10 Dereva Daraja II (Driver Grade II)
2025-09-05T03:17:41+00:00
Bunda District Council
https://cdn.greattanzaniajobs.com/jsjobsdata/data/employer/comp_5198/logo/Bunda%20District%20Council.jpg
FULL_TIME
 
Tanzania
Dar es Salaam
00000
Tanzania
Professional Services
Transportation & Logistics
TZS
 
MONTH
2025-09-17T17:00:00+00:00
 
Tanzania
8

Duties and Responsibilities

  1. Kukagua gari kabla na baada ya safari ili kubaini hali ya usalama wa gari;
  2. Kuwapeleka watumishi maeneo mbalimbali kwenye safari za kikazi;
  3. Kufanya matengenezo madogo madogo ya gari;
  4. Kukusanya na kusambaza nyaraka mbalimbali;
  5. Kujaza na kutunza taarifa za safari zote katika daftari la safari;
  6. Kufanya usafi wa gari; na
  7. Kufanya kazi nyingine kadri atakavyoelekezwa na Msimamizi wake.

Qualifications

Mwombaji Awe amehitimu Kidato cha nne (Form IV) na kupata Cheti cha Mtihani wa Kidato cha nne (IV). Awe na Leseni ya Daraja la ‘E’ au ‘C’ ya uendeshaji magari pamoja na uzoefu wa kuendesha magari kwa muda usiopungua Mwaka mmoja (1) bila kusababisha ajali, pamoja na vyeti vya mafunzo vilivyowapatia sifa ya kupata madaraja husika na awe amehudhuria mafunzo ya Msingi ya uendeshaji Magari (Basic Driving Course) yanayotolewa na Chuo cha Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) au Chuo kingine kinachotambuliwa na Serikali.

 
 
 
bachelor degree
12
JOB-68ba5655997df

Vacancy title:
10 Dereva Daraja II (Driver Grade II)

[Type: FULL_TIME, Industry: Professional Services, Category: Transportation & Logistics]

Jobs at:
Bunda District Council

Deadline of this Job:
Wednesday, September 17 2025

Duty Station:
Tanzania | Dar es Salaam | Tanzania

Summary
Date Posted: Friday, September 5 2025, Base Salary: Not Disclosed

Similar Jobs in Tanzania
Learn more about Bunda District Council
Bunda District Council jobs in Tanzania

JOB DETAILS:

Duties and Responsibilities

  1. Kukagua gari kabla na baada ya safari ili kubaini hali ya usalama wa gari;
  2. Kuwapeleka watumishi maeneo mbalimbali kwenye safari za kikazi;
  3. Kufanya matengenezo madogo madogo ya gari;
  4. Kukusanya na kusambaza nyaraka mbalimbali;
  5. Kujaza na kutunza taarifa za safari zote katika daftari la safari;
  6. Kufanya usafi wa gari; na
  7. Kufanya kazi nyingine kadri atakavyoelekezwa na Msimamizi wake.

Qualifications

Mwombaji Awe amehitimu Kidato cha nne (Form IV) na kupata Cheti cha Mtihani wa Kidato cha nne (IV). Awe na Leseni ya Daraja la ‘E’ au ‘C’ ya uendeshaji magari pamoja na uzoefu wa kuendesha magari kwa muda usiopungua Mwaka mmoja (1) bila kusababisha ajali, pamoja na vyeti vya mafunzo vilivyowapatia sifa ya kupata madaraja husika na awe amehudhuria mafunzo ya Msingi ya uendeshaji Magari (Basic Driving Course) yanayotolewa na Chuo cha Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) au Chuo kingine kinachotambuliwa na Serikali.

 

Work Hours: 8

Experience in Months: 12

Level of Education: bachelor degree

Job application procedure

Interested in applying for this job? Click here to submit your application now

 

All Jobs | QUICK ALERT SUBSCRIPTION

Job Info
Job Category: Logistics/ Transportation/ Procurement jobs in Tanzania
Job Type: Full-time
Deadline of this Job: Wednesday, September 17 2025
Duty Station: Tanzania | Dar es Salaam | Tanzania
Posted: 05-09-2025
No of Jobs: 1
Start Publishing: 05-09-2025
Stop Publishing (Put date of 2030): 05-09-2077
Apply Now
Notification Board

Join a Focused Community on job search to uncover both advertised and non-advertised jobs that you may not be aware of. A jobs WhatsApp Group Community can ensure that you know the opportunities happening around you and a jobs Facebook Group Community provides an opportunity to discuss with employers who need to fill urgent position. Click the links to join. You can view previously sent Email Alerts here incase you missed them and Subscribe so that you never miss out.

Caution: Never Pay Money in a Recruitment Process.

Some smart scams can trick you into paying for Psychometric Tests.