Afisa Tehama Daraja La II-Pemba job at Zanzibar Maritime Authority (ZMA)
New
Today
Linkedid Twitter Share on facebook
Afisa Tehama Daraja La II-Pemba
2026-07-29T19:05:18+00:00
Zanzibar Maritime Authority (ZMA)
https://cdn.greattanzaniajobs.com/jsjobsdata/data/employer/comp_7106/logo/Zanzibar%20Maritime%20Authority%20(ZMA).png
FULL_TIME
PEMBA
Tanzania
00000
Tanzania
Transportation, Distribution, and Logistics
Computer & IT, Civil & Government
TZS
MONTH
2026-08-10T17:00:00+00:00
8

MAJUKUMU YA KAZI

  • Kubaini mahitaji ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano katika Mamlaka.
  • Kufanya mapitio ya mifumo ya taarifa na kupendekeza maboresho inapofaa.
  • Kufanya matengenezo ya mifumo ya TEHAMA na kutoa suluhisho kwa wakati.
  • Kushughulikia uwiano wa mawasiliano ya ndani (networking) ya kompyuta.
  • Kuhakikisha kompyuta na vifaa vinavyohusika vinafanya kazi muda wote na kufanyiwa matengenezo stahiki.
  • Kutoa mafunzo ya matumizi ya TEHAMA kila itakapohitajika.
  • Kuandaa program mbali mbali za kompyuta.
  • Kubuni mifumo mbalimbali ya kurahisisha utendaji kazi kwa kutumia TEHAMA.
  • Kutoa ushauri Kuhusu upatikanaji wa vifaa vya TEHAMA.
  • Kusaidia katika kuandaa ripoti za mara kwa mara kuhusu hali ya teknolojia ya habari na usimamizi wa mifumo ya Mamlaka.
  • Kuweka taarifa ya matukio mbali mbali ya Mamlaka kwenye tovuti

SIFA ZA MUOMBAJI

  • Awe ni Mzanzibari.
  • Awe mkaazi wa Pemba
  • Awe na umri usiozidi miaka 40
  • Awe mwenye elimu ya Shahada ya kwanza katika masuala ya ICT, Mifumo ya TEHAMA, Uhandisi wa kompyuta pamoja na Network kutoka katika chuo kinachotambuliwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar.
  • Awe na ujuzi wa kutumia kompyuta.
  • Uzoefu wa kazi ni sifa ya ziada
  • Kubaini mahitaji ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano katika Mamlaka.
  • Kufanya mapitio ya mifumo ya taarifa na kupendekeza maboresho inapofaa.
  • Kufanya matengenezo ya mifumo ya TEHAMA na kutoa suluhisho kwa wakati.
  • Kushughulikia uwiano wa mawasiliano ya ndani (networking) ya kompyuta.
  • Kuhakikisha kompyuta na vifaa vinavyohusika vinafanya kazi muda wote na kufanyiwa matengenezo stahiki.
  • Kutoa mafunzo ya matumizi ya TEHAMA kila itakapohitajika.
  • Kuandaa program mbali mbali za kompyuta.
  • Kubuni mifumo mbalimbali ya kurahisisha utendaji kazi kwa kutumia TEHAMA.
  • Kutoa ushauri Kuhusu upatikanaji wa vifaa vya TEHAMA.
  • Kusaidia katika kuandaa ripoti za mara kwa mara kuhusu hali ya teknolojia ya habari na usimamizi wa mifumo ya Mamlaka.
  • Kuweka taarifa ya matukio mbali mbali ya Mamlaka kwenye tovuti
  • Ujuzi wa kutumia kompyuta.
  • Mzanzibari.
  • Mkaazi wa Pemba
  • Umri usiozidi miaka 40
  • Elimu ya Shahada ya kwanza katika masuala ya ICT, Mifumo ya TEHAMA, Uhandisi wa kompyuta pamoja na Network kutoka katika chuo kinachotambuliwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar.
  • Ujuzi wa kutumia kompyuta.
  • Uzoefu wa kazi ni sifa ya ziada
bachelor degree
No Requirements
JOB-6a6a4eeeb4a16

Vacancy title:
Afisa Tehama Daraja La II-Pemba

[Type: FULL_TIME, Industry: Transportation, Distribution, and Logistics, Category: Computer & IT, Civil & Government]

Jobs at:
Zanzibar Maritime Authority (ZMA)

Deadline of this Job:
Monday, August 10 2026

Duty Station:
PEMBA | Tanzania

Summary
Date Posted: Wednesday, July 29 2026, Base Salary: Not Disclosed

Similar Jobs in Tanzania
Learn more about Zanzibar Maritime Authority (ZMA)
Zanzibar Maritime Authority (ZMA) jobs in Tanzania

JOB DETAILS:

MAJUKUMU YA KAZI

  • Kubaini mahitaji ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano katika Mamlaka.
  • Kufanya mapitio ya mifumo ya taarifa na kupendekeza maboresho inapofaa.
  • Kufanya matengenezo ya mifumo ya TEHAMA na kutoa suluhisho kwa wakati.
  • Kushughulikia uwiano wa mawasiliano ya ndani (networking) ya kompyuta.
  • Kuhakikisha kompyuta na vifaa vinavyohusika vinafanya kazi muda wote na kufanyiwa matengenezo stahiki.
  • Kutoa mafunzo ya matumizi ya TEHAMA kila itakapohitajika.
  • Kuandaa program mbali mbali za kompyuta.
  • Kubuni mifumo mbalimbali ya kurahisisha utendaji kazi kwa kutumia TEHAMA.
  • Kutoa ushauri Kuhusu upatikanaji wa vifaa vya TEHAMA.
  • Kusaidia katika kuandaa ripoti za mara kwa mara kuhusu hali ya teknolojia ya habari na usimamizi wa mifumo ya Mamlaka.
  • Kuweka taarifa ya matukio mbali mbali ya Mamlaka kwenye tovuti

SIFA ZA MUOMBAJI

  • Awe ni Mzanzibari.
  • Awe mkaazi wa Pemba
  • Awe na umri usiozidi miaka 40
  • Awe mwenye elimu ya Shahada ya kwanza katika masuala ya ICT, Mifumo ya TEHAMA, Uhandisi wa kompyuta pamoja na Network kutoka katika chuo kinachotambuliwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar.
  • Awe na ujuzi wa kutumia kompyuta.
  • Uzoefu wa kazi ni sifa ya ziada

Work Hours: 8

Experience: No Requirements

Level of Education: bachelor degree

Job application procedure

 

Period: 29/07/2026 - 10/08/2026

Click Here to Apply Now

All Jobs | QUICK ALERT SUBSCRIPTION

Job Info
Job Category: Computer/ IT jobs in Tanzania
Job Type: Full-time
Deadline of this Job: Monday, August 10 2026
Duty Station: PEMBA | Tanzania
Posted: 29-07-2026
No of Jobs: 1
Start Publishing: 29-07-2026
Stop Publishing (Put date of 2030): 10-10-2076
Apply Now
Notification Board

Join a Focused Community on job search to uncover both advertised and non-advertised jobs that you may not be aware of. A jobs WhatsApp Group Community can ensure that you know the opportunities happening around you and a jobs Facebook Group Community provides an opportunity to discuss with employers who need to fill urgent position. Click the links to join. You can view previously sent Email Alerts here incase you missed them and Subscribe so that you never miss out.

Caution: Never Pay Money in a Recruitment Process.

Some smart scams can trick you into paying for Psychometric Tests.