Afisa Habari Daraja LA II - Fani Ya Ubunifu Wa Michoro - (Graphic Design)
2026-01-12T09:22:16+00:00
National Audit office of Tanzania (NAOT)
https://cdn.greattanzaniajobs.com/jsjobsdata/data/employer/comp_6591/logo/National%20Audit%20office%20of%20Tanzania%20(NAOT).jpeg
https://www.nao.go.tz/
FULL_TIME
Dar es Salaam
Dar es Salaam
00000
Tanzania
Accounting
Art, Fashion & Design, Media, Communications & Writing, Civil & Government, Advertising & Public Relations
2026-01-24T17:00:00+00:00
8
Duties and Responsibilities
- Kusimamia mifumo ya mawasiliano ya kidijitali ya Ofisi kama vile tovuti na mitandao ya kijamii;
- Kufanya ufuatiliaji na uchambuzi wa habari mbalimbali zinazohusu Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi;
- Kupiga na kuhariri picha mnato na picha mjongeo kwa ajili ya mawasiliano ya ndani na nje ya taasisi;
- Kuandaa picha na kubuni michoro yenye maudhui ya ukaguzi kwa ajili ya ripoti za ukaguzi, ripoti za wadau na maonesho;
- Kushiriki kampeni za mawasiliano ya kidijitali za Ofisi;
- Kutunza kanzidata ya ubunifu na kumbukumbu za mawasiliano; na
- Kufanya kazi nyingine zinazoendana na fani yake kadri atakavyopangiwa na mkuu wake wa kazi.
Qualifications
Kuajiriwa wenye Shahada ya kwanza katika fani ya “Multimedia Technology” (Bachelor of Science in Multimedia Technology) au Shahada ya Sanaa katika Ubunifu wa Michoro (Bachelor of Arts in Graphic Design kutoka katika Vyuo vinavyotambuliwa na Serikali.
- Kusimamia mifumo ya mawasiliano ya kidijitali ya Ofisi kama vile tovuti na mitandao ya kijamii;
- Kufanya ufuatiliaji na uchambuzi wa habari mbalimbali zinazohusu Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi;
- Kupiga na kuhariri picha mnato na picha mjongeo kwa ajili ya mawasiliano ya ndani na nje ya taasisi;
- Kuandaa picha na kubuni michoro yenye maudhui ya ukaguzi kwa ajili ya ripoti za ukaguzi, ripoti za wadau na maonesho;
- Kushiriki kampeni za mawasiliano ya kidijitali za Ofisi;
- Kutunza kanzidata ya ubunifu na kumbukumbu za mawasiliano; na
- Kufanya kazi nyingine zinazoendana na fani yake kadri atakavyopangiwa na mkuu wake wa kazi.
- Graphic Design
- Multimedia Technology
- Digital Communication Systems Management
- Photo and Video Editing
- Data Management
- Bachelor of Science in Multimedia Technology OR Bachelor of Arts in Graphic Design from a government-recognized institution.
JOB-6964bd48cb5dd
Vacancy title:
Afisa Habari Daraja LA II - Fani Ya Ubunifu Wa Michoro - (Graphic Design)
[Type: FULL_TIME, Industry: Accounting, Category: Art, Fashion & Design, Media, Communications & Writing, Civil & Government, Advertising & Public Relations]
Jobs at:
National Audit office of Tanzania (NAOT)
Deadline of this Job:
Saturday, January 24 2026
Duty Station:
Dar es Salaam | Dar es Salaam
Summary
Date Posted: Monday, January 12 2026, Base Salary: Not Disclosed
Similar Jobs in Tanzania
Learn more about National Audit office of Tanzania (NAOT)
National Audit office of Tanzania (NAOT) jobs in Tanzania
JOB DETAILS:
Duties and Responsibilities
- Kusimamia mifumo ya mawasiliano ya kidijitali ya Ofisi kama vile tovuti na mitandao ya kijamii;
- Kufanya ufuatiliaji na uchambuzi wa habari mbalimbali zinazohusu Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi;
- Kupiga na kuhariri picha mnato na picha mjongeo kwa ajili ya mawasiliano ya ndani na nje ya taasisi;
- Kuandaa picha na kubuni michoro yenye maudhui ya ukaguzi kwa ajili ya ripoti za ukaguzi, ripoti za wadau na maonesho;
- Kushiriki kampeni za mawasiliano ya kidijitali za Ofisi;
- Kutunza kanzidata ya ubunifu na kumbukumbu za mawasiliano; na
- Kufanya kazi nyingine zinazoendana na fani yake kadri atakavyopangiwa na mkuu wake wa kazi.
Qualifications
Kuajiriwa wenye Shahada ya kwanza katika fani ya “Multimedia Technology” (Bachelor of Science in Multimedia Technology) au Shahada ya Sanaa katika Ubunifu wa Michoro (Bachelor of Arts in Graphic Design kutoka katika Vyuo vinavyotambuliwa na Serikali.
Work Hours: 8
Experience in Months: 24
Level of Education: bachelor degree
Job application procedure
Application Period: 10/01/2026 - 24/01/2026
Application Link: Click Here to Apply Now
All Jobs | QUICK ALERT SUBSCRIPTION