Msaidizi wa Kumbukumbu II
2026-08-15T21:48:34+00:00
Judicial Service Commission
https://cdn.greattanzaniajobs.com/jsjobsdata/data/employer/comp_3007/logo/The%20Republic%20of%20Tanzania.jpg
https://www.greattanzaniajobs.com/jobs
FULL_TIME
Dar es Salaam
Dar es Salaam
00000
Tanzania
Public Administration, and Government
Admin & Office, Civil & Government, Legal
2026-08-28T17:00:00+00:00
8
Duties and Responsibilities
- Kupokea wateja na kuwaelekeza taratibu za kimahakama na za kiutawala
- Kuanisha, kufungua, kupanga, kutunza na kuhuisha majalada ya mashauri na kiutawala na kuzipa namba za kiendeksia
- Kufungua mashauri ya Jinai na Madai
- Kutunza na kuhuisha taarifa za mashauri ya Jinai na Madai yanayoendelea
- Kuandaa na kuhuisha orodha ya mashauri ya kila wiki
- Kuandaa wito wa kuitwa kwenye shauri (summons) la jinai au madai
- Kuhakikisha kumbukumbu na nyaraka zinazotoka na kuingia zinakidhi miongozo ya uandishi wa madokezo, barua na taarifa
- Kuweka na kupanga kumbukumbu na nyaraka katika majalada na makabati (file racks/cabinets)
- Kusambaza nyaraka na kumbukumbu za kimahakama na za kiutawala
- Kutunza kumbukumbu za kimahakama na za kiutawala zinazozalishwa kielektroniki
- Kuandaa Kumbi na vyumba vya kusikiliza mashauri pamoja na kuhakikisha wahusika wanafika kwa wakati
- Kupokea, kusajili na kutunza vidhibiti vya mashauri
- Kutoa nakala za mwenendo, hukumu na amri kwa wadaawa.
- Kuandaa na kuwasilisha majalada ya mashauri katika Mahakama husika
- Kuandaa takwimu mbalimbali za mashauri ya jinai na madai ya kimahakama
- Kufanyakazi zingine atakazopangiwa na msimamizi wake.
Qualification and Experience
Holder of Diploma / FTC in one of the following fields: Diploma in Law, Diploma in Law., Ordinary Diploma in Law, Diploma in Law with Shariah, Diploma in Records, Archives and Information Management, Ordinary Diploma in Records, Archives and Information Management, Diploma in Records, Archives and Information Management or equivalent qualifications from a recognized Institution with 0 years of work experience and minimum age of 18 and maximum age of 45
- Kupokea wateja na kuwaelekeza taratibu za kimahakama na za kiutawala
- Kuanisha, kufungua, kupanga, kutunza na kuhuisha majalada ya mashauri na kiutawala na kuzipa namba za kiendeksia
- Kufungua mashauri ya Jinai na Madai
- Kutunza na kuhuisha taarifa za mashauri ya Jinai na Madai yanayoendelea
- Kuandaa na kuhuisha orodha ya mashauri ya kila wiki
- Kuandaa wito wa kuitwa kwenye shauri (summons) la jinai au madai
- Kuhakikisha kumbukumbu na nyaraka zinazotoka na kuingia zinakidhi miongozo ya uandishi wa madokezo, barua na taarifa
- Kuweka na kupanga kumbukumbu na nyaraka katika majalada na makabati (file racks/cabinets)
- Kusambaza nyaraka na kumbukumbu za kimahakama na za kiutawala
- Kutunza kumbukumbu za kimahakama na za kiutawala zinazozalishwa kielektroniki
- Kuandaa Kumbi na vyumba vya kusikiliza mashauri pamoja na kuhakikisha wahusika wanafika kwa wakati
- Kupokea, kusajili na kutunza vidhibiti vya mashauri
- Kutoa nakala za mwenendo, hukumu na amri kwa wadaawa.
- Kuandaa na kuwasilisha majalada ya mashauri katika Mahakama husika
- Kuandaa takwimu mbalimbali za mashauri ya jinai na madai ya kimahakama
- Kufanyakazi zingine atakazopangiwa na msimamizi wake.
- Diploma / FTC in one of the following fields: Diploma in Law, Diploma in Law., Ordinary Diploma in Law, Diploma in Law with Shariah, Diploma in Records, Archives and Information Management, Ordinary Diploma in Records, Archives and Information Management, Diploma in Records, Archives and Information Management or equivalent qualifications from a recognized Institution
No Requirements
JOB-6a80deb20f320
Vacancy title:
Msaidizi wa Kumbukumbu II
[Type: FULL_TIME, Industry: Public Administration, and Government, Category: Admin & Office, Civil & Government, Legal]
Jobs at:
Judicial Service Commission
Deadline of this Job:
Friday, August 28 2026
Duty Station:
Dar es Salaam | Dar es Salaam
Summary
Date Posted: Saturday, August 15 2026, Base Salary: Not Disclosed
Similar Jobs in Tanzania
Learn more about Judicial Service Commission
Judicial Service Commission jobs in Tanzania
JOB DETAILS:
Duties and Responsibilities
- Kupokea wateja na kuwaelekeza taratibu za kimahakama na za kiutawala
- Kuanisha, kufungua, kupanga, kutunza na kuhuisha majalada ya mashauri na kiutawala na kuzipa namba za kiendeksia
- Kufungua mashauri ya Jinai na Madai
- Kutunza na kuhuisha taarifa za mashauri ya Jinai na Madai yanayoendelea
- Kuandaa na kuhuisha orodha ya mashauri ya kila wiki
- Kuandaa wito wa kuitwa kwenye shauri (summons) la jinai au madai
- Kuhakikisha kumbukumbu na nyaraka zinazotoka na kuingia zinakidhi miongozo ya uandishi wa madokezo, barua na taarifa
- Kuweka na kupanga kumbukumbu na nyaraka katika majalada na makabati (file racks/cabinets)
- Kusambaza nyaraka na kumbukumbu za kimahakama na za kiutawala
- Kutunza kumbukumbu za kimahakama na za kiutawala zinazozalishwa kielektroniki
- Kuandaa Kumbi na vyumba vya kusikiliza mashauri pamoja na kuhakikisha wahusika wanafika kwa wakati
- Kupokea, kusajili na kutunza vidhibiti vya mashauri
- Kutoa nakala za mwenendo, hukumu na amri kwa wadaawa.
- Kuandaa na kuwasilisha majalada ya mashauri katika Mahakama husika
- Kuandaa takwimu mbalimbali za mashauri ya jinai na madai ya kimahakama
- Kufanyakazi zingine atakazopangiwa na msimamizi wake.
Qualification and Experience
Holder of Diploma / FTC in one of the following fields: Diploma in Law, Diploma in Law., Ordinary Diploma in Law, Diploma in Law with Shariah, Diploma in Records, Archives and Information Management, Ordinary Diploma in Records, Archives and Information Management, Diploma in Records, Archives and Information Management or equivalent qualifications from a recognized Institution with 0 years of work experience and minimum age of 18 and maximum age of 45
Work Hours: 8
Experience: No Requirements
Level of Education: associate degree
Job application procedure
Click here to apply
All Jobs | QUICK ALERT SUBSCRIPTION